Mtandao wa kijamii wa Facebook, unaomiliki mtandao mwingine wa kijamii wa WhatsApp, umesitisha utekelezaji wa sera mpya ya faragha, ambayo ilipelekea mamilioni ya watumiaji wa WhatsApp kuachana na programu-tumizi hiyo. Sera hiyo mpya ya faragha ililenga kukusanya taarifa za watumiaji wa WhatsApp na kuipatia Facebook, ambayo ina rekodi isiyopendeza kuhusu utunzaji wa faragha za watumiaji […]
