Rais John Magufuli, ambaye kwa miaka mitano ya utawala wake amekuwa akijinasibu kama anayechukia matumizi mabaya ya raslimali za umma, alitoa ndege ya rais kwenda Kenya kumleta mchekeshaji maarufu, Eric Omondi, kwa ziara ya siku mbili. Kwa mujibu wa taarifa za tovuti ya , licha ya serikali ya Tanzania kupiga marufuku ndege kutoka Kenya, msanii […]
