Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, amewawekea pingamizi wagombea wawili wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wagombea hao ni Dr. John Magufuli wa chama tawala CCM na Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF. Hadi muda […]
