Mdau mmoja huko Jamii Forums amehoji kuhusu ahadi iliyotolewa na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza mwaka 2013 ya kusambaza sola katika shule za sekondari za vijijini nchini Tanzania. Ifiatayo ni habari husika ya mwaka 2013 kuhusu ahadi hiyo. Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair ameahidi kuangalia uwezekano wa kuzisaidia shule za sekondari […]
