Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjilisti la Kilutheri Tanzania wilayani Babati, Emmanuel Petro Guse, anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuwia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuendesha biashara ya mikopo umiza bila ya kuwa na leseni ya biashara ya ukopeshaji fedha. Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara Holle Joseph Makungu akizungumza mjini Babati Agosti 28 amesema awali […]
