
Tag: Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020


Network data from the NetBlocks Internet Observatory confirm widespread disruption to social media and online communication platforms via multiple internet providers in Tanzania as of Tuesday 27 October 2020. The incident comes on the eve of Tanzania’s presidential and national assembly elections and the service outages are ongoing at the time of writing. Real-time metrics […]

Nimewaita kupitia ninyi niongee na Watanzania. Wengi wameuliza Membe yupo wapi? Au kaunga mkono Juhudi, au kaondoka chama? Mimi Membe ni Mgombea Halali wa ACT Wazalendo. Ni chama chetu kizuri na nitakipeleka kwenye Uchaguzi wa Mwaka huu kama Mgombea wa Urais. Kuna watu walikuwa wanasubiri nitamke tu neno ila mambo yatimie. Mimi hupenda kujibu Maswali. […]

Katibu mwenezi wa CHADEMA kata ya Muhintiri-Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kinyama kwa kukatwakatwa na mapanga na kufariki dunia akiwa shambani kwake jioni hii na watu wasiojulikana. Taarifa hii ni kwa mujibu wa mgombea ubunge jimbo la Singida Magharibi kwa tiketi ya Chadema, Kulungu Hemed Ramadhan.



Tamko hilo la Zitto ni kama kupigia mstari kauli hii ya Maalim Seif Sharif Hamad Macho na masikio sasa yaelekezwa kwa Bernard Membe, kada wa zamani wa CCM aliyefukuzwa na chama hicho tawala kisha akajiunga na ACT-Wazalendo, kabla ya kupitishwa kuwa mgombea wa chama hicho katika nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. […]


