
Tag: John Magufuli





Friday, September 11, 2020 By Kevin J. Kelley What you need to know: The ruling party’s anti-democratic actions could call into question any claim of victory it makes in the national elections scheduled for next month, the centre predicted. The analysts drew a sharp contrast between President Magufuli’s autocratic rule and founding President Julius Nyerere’s commitment […]



Kwamba hali ya maisha ya Watanzania ni ngumu, ni suala lisilohitaji utafiti wala mjadala. Kwamba ugumu huo umechangiwa na serikali kuwa na vipaumbele ambavyo hamvimnufaishi mwanachi wa kawaida moja kwa moja au hapo kwa hapo, nalo si jambo linalohitaji umahiri sana kulielewa. Ni wazi kuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Rais aliyepo madarakani, John […]

Rais John Magufuli, ambaye kwa miaka mitano ya utawala wake amekuwa akijinasibu kama anayechukia matumizi mabaya ya raslimali za umma, alitoa ndege ya rais kwenda Kenya kumleta mchekeshaji maarufu, Eric Omondi, kwa ziara ya siku mbili. Kwa mujibu wa taarifa za tovuti ya , licha ya serikali ya Tanzania kupiga marufuku ndege kutoka Kenya, msanii […]

Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, amewawekea pingamizi wagombea wawili wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wagombea hao ni Dr. John Magufuli wa chama tawala CCM na Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF. Hadi muda […]