Kikundi cha kigaidi cha Islamic State Central Africa Province (ISCAP) kimetangaza kuwaua wanajeshi 20 wa Tanzania kuafatia mapambano Kaskazini Mashariki mwa Msumbiji. Vynazo vya habari vya kijeshi vimelizeleza shirika la habari la Amaq kwamba mapambano dhidi ya kikundi hicho cha magaidi yalijumuisha wanajeshi wa Tanzania na wa Msumbiji katika mji wa Masemboa da Praia, katika […]
