Categories Michezo/Burudani Mwanasoka wa Kimataifa wa Tanzania @HimidMao Ajiunga na Klabu ya Ghazl El-Mahalla Ya Misri Inayokipiga Ligi Kuu ya Nchi Hiyo Post author By admin Post date October 3, 2021 Mwanasoka wa kimataifa wa Tanzania, Himid Mao Mkami amejiunga na klabu ya soka ya Ghazl El-Mahalla inayokipiga Ligi Kuu ya Misri, akitokea klabu ya Entag El Harby ya nchini humo. Tovuti hii inamtakia Himid kila la heri katika klabu yake mpya 🙏 Share this:TwitterFacebook Tags Entag El Harby, Ghazl El-Mahalla, Himid Mao, Misri, Soka la Kimataifa ← #NukuuZaMo → Mkenya Agundua Mashine Ya Kupika Ugali Kwa Dakika 3 Tu