Moja ya habari zilizovuma kwenye vyombo vya habari vya Marekani ni mahojiano kati ya rapa maarufu wa kike wa Marekani, Cardi B na mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Democrats, Joe Biden. Kwa vile Tanzania nayo inajiandaa na kinyang’anyiro cha uchaguzi kama ilivyo Marekani, mahojiano hayo yanaweza kuwa funzo nzuri kwa wasanii mbalimbali nchini […]
