
Category: Siasa









Tukio la kutekwa kwa Msaidizi wangu Jerome Luanda jana mara baada ya kutua kwenye kiwanja cha Kimataifa cha JK Nyerere international Airport nitalizungumzia kwa undani Saa 10 kamili leo. Nimewapa wahusika wanaodhani siwajui masaa matatu wamwachie akiwa mzima na salama. — Bernard K. Membe (@BenMembe) September 16, 2020 Msaidizi wangu Jerome tunaambiwa anakabiliwa na […]
