Chama tawala CCM leo huko Dodoma kimezindua kampeni zake za uchaguzi mkuu kwa nafasi ya urais, ubunge na udiwani. Moja ya matukio yaliyogusa hisia za wengi katika uzinduzi huo ni kitendo cha wanausalama kumzuwia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kwenda kwenye jukwaa la wageni maarufu (VIP). Baadaye, kulisambaa picha inayomwonyesha […]
