Categories
Uncategorized

Tamko kamili la Baraza La Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kuukataa mkataba wa bandari

“Ndugu zangu nawasihi mjihadhahari na wote wanaoleta mafarakano na vipingamizi kinyume cha mliyopokea (mapokeo). Waepukeni.Kwa maana watu kama hao wanatumikia tamaa zao kwa kutumia maneno matamu ya kudanganya kupotosha mioyo ya watu wanyofu” (Warumi 16:17-18). Sisi Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania, 2.1. Tukizingatia yaliyojiri na yanayoendelea katika jamii ya Tanzania tangu Mkataba huu uwekwe hadharani, […]

Categories
Uncategorized

Dkt Slaa, mkosoaji mkali wa mkataba wa bandari, akamatwa kwa tuhuma za uhaini

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na mkosoaji mkali wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Dk Willbrod Slaa ametiwa mbaroni kwa tuhuma za uhaini. Slaa alikamatwa siku ya Jumapili katika msako mkali wa serikali ya wakosoaji wa mkataba maarufu wa Tanzania na Dubai. Kwa mujibu wa makubaliano hayo, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji ya DP World […]