Categories
Mitandao ya kijamii

Twita inabagua akaunti zenye followers wachache

Kwa mujibu wa taarifa, mtandao wa kijamii wa Twita ambao sasa unamilikiwa na tajiri namba moja duniani, Elon Musk, unawabagua watumiaji wenye followers wachache. Kinachoendelea ni kwamba watumiaji wenye followers wengi (zinazofahamika kama “big accounts”) wakifanya interactions na akaunti zenye followers wachache (zinazofahamika kama “small accounts”) basi algorithm ya Twita inapelekea reach ya akaunti hizo […]

Categories
Uncategorized

Licha ya mmiliki wa Twita Elon Musk kudai ataondoa “block button”, Google Play na Apple Store zina sharti la kila app kuwa na nyenzo ya kudhibiti wakorofi mtandaoni

Licha ya kauli ya mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Twita, Elon Musk, aliyoitoa jana kwamba ataondoa “block button”, ukweli ni kwamba hawezi kufanya hivyo. Sheria za Google Play na Apple Store, sehemu mbili ambazo bila uwepo wake, Twitter itashindwa kufanya kazi kwa ufanisi, zinataka kila app kuwa na nyenzo ya kumwezesha mtumiaji wa app […]