Categories
Uncategorized

Tamko kamili la Baraza La Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kuukataa mkataba wa bandari

“Ndugu zangu nawasihi mjihadhahari na wote wanaoleta mafarakano na vipingamizi kinyume cha mliyopokea (mapokeo). Waepukeni.Kwa maana watu kama hao wanatumikia tamaa zao kwa kutumia maneno matamu ya kudanganya kupotosha mioyo ya watu wanyofu” (Warumi 16:17-18). Sisi Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania, 2.1. Tukizingatia yaliyojiri na yanayoendelea katika jamii ya Tanzania tangu Mkataba huu uwekwe hadharani, […]