Categories
Uncategorized

Tumerejea hewani

Baada ya kupotea kwa miezi kadhaa kutokana na sababu za kiufundi, sasa gazeti lako la mtandaoni la Habari Tanzania limerudi tena hewani.

Hata hivyo, bado kuna mchakato unaendelea kuliwezesha liwaletee habari kila siku. Kwa sasa matengenezo ya kiufundi yanakaribia kumalizika, na punde litakuwa hewani kila siku.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *