Categories
Mitandao ya kijamii

Twita inabagua akaunti zenye followers wachache

Kwa mujibu wa taarifa, mtandao wa kijamii wa Twita ambao sasa unamilikiwa na tajiri namba moja duniani, Elon Musk, unawabagua watumiaji wenye followers wachache. Kinachoendelea ni kwamba watumiaji wenye followers wengi (zinazofahamika kama “big accounts”) wakifanya interactions na akaunti zenye followers wachache (zinazofahamika kama “small accounts”) basi algorithm ya Twita inapelekea reach ya akaunti hizo […]

Categories
Uncategorized

Mabadiliko yya Baraza la Mawaziri

Categories
Uncategorized

Licha ya mmiliki wa Twita Elon Musk kudai ataondoa “block button”, Google Play na Apple Store zina sharti la kila app kuwa na nyenzo ya kudhibiti wakorofi mtandaoni

Licha ya kauli ya mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Twita, Elon Musk, aliyoitoa jana kwamba ataondoa “block button”, ukweli ni kwamba hawezi kufanya hivyo. Sheria za Google Play na Apple Store, sehemu mbili ambazo bila uwepo wake, Twitter itashindwa kufanya kazi kwa ufanisi, zinataka kila app kuwa na nyenzo ya kumwezesha mtumiaji wa app […]

Categories
Uncategorized

Tamko kamili la Baraza La Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kuukataa mkataba wa bandari

“Ndugu zangu nawasihi mjihadhahari na wote wanaoleta mafarakano na vipingamizi kinyume cha mliyopokea (mapokeo). Waepukeni.Kwa maana watu kama hao wanatumikia tamaa zao kwa kutumia maneno matamu ya kudanganya kupotosha mioyo ya watu wanyofu” (Warumi 16:17-18). Sisi Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania, 2.1. Tukizingatia yaliyojiri na yanayoendelea katika jamii ya Tanzania tangu Mkataba huu uwekwe hadharani, […]

Categories
Uncategorized

Sekondari ya Tabora Boys : shule “iliyozalisha” lundo la viongozi, ilikuwa pekee ya mchepuo wa kijeshi na Tabora Girls

UNAPOUTAJA mwaka 1922, kipindi alichozaliwa Baba wa Taifa hayati Julius Nyerere, ni dhana inayoenda sambamba na kuanzishwa kwa shule ya sekondari Tabora Kwa lugha rahisi ‘wote ni wazaliwa wa mwaka mmoja’ TABORA HIGH-SCHOOL Mbali na kugongana kwa mwaka huo wa kuzaliwa, ndiko Mwalimu Nyerere alikopata elimu yake ya sekondari, ambayo ina mchango mkubwa wa kumfikisha […]

Categories
Uncategorized

Dkt Slaa, mkosoaji mkali wa mkataba wa bandari, akamatwa kwa tuhuma za uhaini

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na mkosoaji mkali wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Dk Willbrod Slaa ametiwa mbaroni kwa tuhuma za uhaini. Slaa alikamatwa siku ya Jumapili katika msako mkali wa serikali ya wakosoaji wa mkataba maarufu wa Tanzania na Dubai. Kwa mujibu wa makubaliano hayo, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji ya DP World […]

Categories
Uncategorized

Tumerejea hewani

Baada ya kupotea kwa miezi kadhaa kutokana na sababu za kiufundi, sasa gazeti lako la mtandaoni la Habari Tanzania limerudi tena hewani. Hata hivyo, bado kuna mchakato unaendelea kuliwezesha liwaletee habari kila siku. Kwa sasa matengenezo ya kiufundi yanakaribia kumalizika, na punde litakuwa hewani kila siku.