KVurugu za nchini Kenya zendelea kutokana na maandamano ya kupinga kwa matokeo ya Urais yaliyofanyika karibuni na kutangazwa Rais Kibaki kupingwa na watu wengi.
» Wasomi wamtaka JK kukaza buti kwa mafisadi
WASOMI wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kusimamia kwa ukali na umakini mkubwa ili kuhakikisha watu walioshiriki katika ufisadi uliokithiri katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wanarudisha fedha zote zilizoibwa na wahusika kuchukuliwa hatua.
» Dk. Slaa: Nina siri nyingine nzito
WAKATI Watanzania wakitafakari hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Dk. Daudi Balali kutokana na kashfa ya akaunti ya malipo ya madeni ya nje (EPA), muasisi wa tuhuma zilizosababisha uchunguzi wa akaunti hiyo, Dk. Willibrod Slaa, ameibuka na siri nyingine kuhusu tuhuma za ufisadi wa viongozi walio serikalini.

Makala
Mzee Mwanakijiji
 Salehe Mmoro
Habari za Kitaifa
Michezo
 Siasa
Habari Mbalimbali
Africa
» Obama atishiwa maisha
By Marshy Abdu | Published 08/10/2008 | Habari za Kimataifa | Rating:
KAMPENI za kuwania kiti cha urais wa Marekani katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, zimepata sura mpya, baada ya mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo kutishiwa kuuawa.
» Kama Zanzibar si nchi, Tanganyika ilijiunga na wilaya?
By Marshy Abdu | Published 08/10/2008 | Habari za Kitaifa | Rating:
BABA wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alikuwa mtu mwenye kanuni ya kujikosoa. Nadhani ni kanuni hiyo iliyomfanya afe akiwa kipenzi cha wote wakiwamo hata wale ambao kwa namna moja au nyingine walibanwa na wadhifa wake.
No articles found.